























Habari
Habari za hivi sasa
Mtihani wa Taifa kwa kidato cha pili 2025
Kidato cha pili wanatarajia kuanza mtihani wao wa Taifa wa kumaliza kidato cha pili utakaoanza tarehe 10.Nov.2025. Tazama hapa ratiba ya mtihani kwa kidato cha pili
Mtihani wa Taifa kidato cha nne 2025
Kidato cha nne wanatarajia kuanza mitihani yao ya Taifa ya kumaliza kidato cha nne itakayoanza tarehe 17.11.2025 . Tazama hapa ratiba ya mtihani wa kidato cha nne
Viongozi wapya Shule ya sekondari Itilima wakiapishwa na makamu mkuu wa shule waliochaguliwa kutokana na uchaguzi wa serikali ya wanafunzi uliofanyika siku ya ijumaa tarehe 9.10.2025
Mitihani ya muhula kwa kidato cha tano 2025
Wanafunzi kidato cha Tano wakiwa kwenye mitihani Yao ya muhula iliyoanza J.tatu tarehe 17.11.2025


























KUHUSU ITILIMA SECONDARY
Shule Ya Sekondari Itilima Ilianzishwa januari,1998 Kwa Usajili namba S.789.
Itilima sekondari inapatikana katika mkoa wa Simiyu wilaya ya Itilima Kaskazini-magharibi mwa Tanzania. Ni kilometa 15 kutoka bariadi mjini sawa na mwendo wa nusu saa kwa boda au daladala
Ni kilometa 125 kutoka Shinyanga mjini(ambapo ni mwendo wa masaa 2 kwa gari)
